Hamna anayetizama hawa jamani?
Bao moja bila, Slovakia wanaongoza kipindi cha pili.
New Zealand wakomboa katika dakika za majeruhi...92 minutes...Bao safi sana!!!!!
Portugal
[*]07 Ronaldo (Captain)
[/LIST]
................solved...................Na kwetu nani captain
Hii ndio tulikuwa tunaisubilia mkuu Ab-Titchaz,,,,,,kwanza kabisa tushushie mipicha ya team zote mbili......Nakuamini. I wish I could lakini kila nikielekezwa ku post picha hapa siwezi,,,,ukilaza umezidi....so, waiting the photos (first eleven za timu)
Ngoja nikufarishishe na hii...