comon howard webb mpira mzuri tu unaanza kuaribu,jamaa ka-loose balance wala sio rafu hile.
Nawe upo uwanjani??? duh!! dakika 90 = 9 Kiliz + 1 Valuu.
linesman ndio katoa hii,lkn jamaa kamvuta iniesta kiaina....
Senderos anatoka sijui kaumia vp tena huyu?...Kamaindi kweli.
senderos mwehu kajiumiza kwa kumtackle team-mate...........
Sidhani kama ni sahihi kumwita Mwehu......thats part of football
Nategemea kuona Two goals in this second half
Huyu mshambuliaji black wa Swiss, Nkufo, sijaona alichofanya fist half.