World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

10450689_295112307327062_2027672691445814218_n.jpg
 
Pole zako nyingi, TeamBrazil ni timu ambayo inapendwa na wapenda kandanda wengi duniani kuliko timu nyingine yoyote ile. Hivyo leo hii walioumia kila kona ya dunia kwa matokeo haya ni wengi sana. Wengi tulidhani matokeo yangekuwa 2 - 1, 3 - 2 na mchezo ungekuwa na ushindani hadi dakika ya 90/120, kumbe dah!!!! mechi ilimalizika baada ya dakika ya 26 tu!!!

Yaani Brazil haijawahi niumiza kiasi hiki, nina wasiwasi fainal itachezwa huku helcopter zikizunguka juu.
Hapatatosha huko, hakuna wabarazil watakaoingia kuwaona wajerumani.
 
Jamani Katavi anatuhitaji sana muda huu,tumpe moyo tusimnyanyapae.Katavi njoo hapa mshkaji wangu uchague timu na mie ntashabikia hiyohiyo bhana,tufe wote au tufurahi wote.chagua timu kesho hautakosea,nakuhakikishia mkuu.
 
Last edited by a moderator:
spain alipo kula 5 watu waliongea sana eti haijawahi kutokea sasa leo tutasemaje hii ni new record kwa timu ya brazil
 
Pole zako nyingi, TeamBrazil ni timu ambayo inapendwa na wapenda kandanda wengi duniani kuliko timu nyingine yoyote ile. Hivyo leo hii walioumia kila kona ya dunia kwa matokeo haya ni wengi sana. Wengi tulidhani matokeo yangekuwa 2 - 1, 3 - 2 na mchezo ungekuwa na ushindani hadi dakika ya 90/120, kumbe dah!!!! mechi ilimalizika baada ya dakika ya 26 tu!!!

Umenena poa, wengi sana tuliipenda na tutaendelea ipenda.
Hakuna narudia tena hakuna kombe la dunia zuri kama hili na halitatokea kamwe.
 
Eti mwenzenu mimi sioni kama tunaweza kujenga uchumi imara bila kuwa wazalishaji. Biashara sioni kama ni muhimili wa jishikilia.
Mimi nikiangalia nchi nilizochagua (sijui zingine) zimepanda kwa kusimamia vizuri rasilimali zake. Baada ya hapo biashara inakuja tu bila kupenda.
Mfano China ni mkakati mkubwa sana wa kilimo, viwanda vikubwa na migodi.
Urusi wali identify resources zao kama madini nk.
Marekani Waarabu, South Afirica etc.

Kwa kweli tusipokuwa wakweli kwa nafsi zetu tutaumbuliwa hadharani vibaya sana kama huu mradi wa TANESCO ambao hata hauvutii kujadili.

Wafanya biashara watakuja tu, serikali iweke mkazo kwenye uzalishaji.
Resources zetu ni ardhi kwa kilimo madini na mifugo pia utalii.
viwanda vitokane na hayo na visimamiwe na waadilifu wakijua hapo ndio pa kujengea nchi au pa kuiulia.
Ningependekeza jina la nchi yetu lijulikane kwa umaarufu wa hayo yote. Kila moja na uzito wa kutosha.
Mfano wasiwepo watu wasio na uwezo katika hizo sekta, kwa sasa panatakiwa uwajibikaji wa haraka na ufanisi wa hali ya juu kujitoa shimoni zilipo na kuanza kupanda.
Chonde chonde wanasiasa sikilizeni wataalamu,

Yaani leo haikuniuma kabisaaa hata sijui ilikuaje.......ila nna hasira na scolari amewafanya wenziwe chambo
 
Historia mbili zimewekwa leo kwa Germany kufunga magoli ya haraka haraka hasa yale ya mwanzo 5 ndani ya dakika 18.
Na ya pili ni host kubugizwa magoli 7-1 aaaww historia mbaya sana hii, haikutakiwa kuwekwa kbs.

Mimi naomba niwaage rasmi humu, nimehuzunika sana timu yangu kuniumiza hivi.
Sitatokea tena basi, nawashukuru wote humu.
Kwaherini, kila la kheri kwa wale timu zao bado zipo, tutaonana kombe la dunia likiisha. Bye!!!

Ndugu pole mi nilikuwa nachat naona magoli tu hadi kidogo nikimbie sema ndio mpira huo, leo nimeishia kucheka tu
 
Germany vs. Saudi Arabia 8-0 in 2002

Germany vs. Brazil 7-1 in 2014

Hawa jamaa nuksi kwakweli
 
What's the score boss?

Brazil 1-7 Germany (Seven)

Bernard asks Luiz Felipe Scolari what the score is


_76134794_023079001.jpg
 
Back
Top Bottom