World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hahahahahaha lol!!!! ile kukuona tu nimeanza kucheka mwenyewe lol! hahahahah halafu na hiyo Avatar yako dah! Basi Mkuu usitie neno zaidi baki na uamuzi wako wa mapema leo.

nilikuwa na majukumu ya kifamilia kidogo lakini sasa nimerejea. wazima humu ndani??
 
Nitajitahidi wangu, usiponyamaza najuwa dawa namimi nikuanza kulia kwa uchungu, najuwa utanionea huruma ukinyamaza nami nageresha.

Maana sina namna[MENTION] Katavi[/MENTION] kesha tabiri siwezi badilisha

Ah!! Wapi!! Mi ndo nashinda nakifikiria tu kibarua ulichonipa,nadhani unaelewa Argentina ni kutoka uvungu wa moyo wangu Ikifungwa Sijui utanibeba na mbeleko ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…