World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Dante,Marcelo,Fernandinho,Hulk,Fred,Benard wote benchi leo

Kukaa kwao benchi sijaona relief yyt ile zaidi ya hasara!Brazil team yote ni mbovu sio ku single out mchezaji mmoja!Vunja team hii ita Oscar,Silva,Ramirez,Willian na Neymar tu wengine wote fukuza
 
Uholanzi wasipofikisha goal 8 ntawadharau sana.

Brazil siku hizi amekuwa maharage ya mbeya
 
Kukaa kwao benchi sijaona relief yyt ile zaidi ya hasara!Brazil team yote ni mbovu sio ku single out mchezaji mmoja!Vunja team hii ita Oscar,Silva,Ramirez,Willian na Neymar tu wengine wote fukuza

Na fukuzia mbali Scolari na timu nzima ya ufundi.
 
Pen imetoka wapi?

Kwa kuwapa penati refa amechemka but kwa upande mwingine amewasaidia Brazil.Ilipaswa iwe freekick na red card so i hope unajua Brazil hii ikicheza pungufu kwa dakika 88 nini kingetokea
 
Sijui kwa nini kamuweka Marcelo bench huyu kocha

Duh hukuona Marcelo alivyochemsha game iliyopita?
Magoli 2 yalitoka upande wake,Marcelo sio mzuri kwenye kudefend ni mzuri kwenye kushambulia
 
kwa kuwapa penati refa amechemka but kwa upande mwingine amewasaidia brazil.ilipaswa iwe freekick na red card so i hope unajua brazil hii ikicheza pungufu kwa dakika 88 nini kingetokea

ni hivi sheria inasema kama umeMshika nje ya 18 na ukaendelea kumshika mpaka ndani ya 18 ni penati.
 
Heaven on Earth nimekusouma umbrazil!
Na leo utaisoma hapa!
Ngoja nikakununulie diripu ukizidiwa nikutundikie! Lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…