World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Leo sidhani kama kutakuwa na saba ingawa dalili za kuchezea kichapo zipo!

Wadachi wanaweza wakaongeza mengine mawili ikawa 4-0.

Hiyo haitakuwa mbaya sana. Kwanza tutakuwa tumejitahidi sana tukipigwa hizo nne bila.

Hahahahahahaaaa!
Tatizo hawa watu wamekariri sana! Wanamfanya Neyma kama Mungu! Dogo hayupo ndio kama hivyo! Nnauhakika wachezaji wa brazil wanapsychological disorder na ndio inayowafungisha!
 
Hahahaaaaa wala si swaumu hiyo. Bado wana kiwewe cha 7-1.
Kitapoa tu with the passage of time.
Glad you admit this...it is exactly the point I was trying make. Even the Brazilians themselves have come to terms with the fact that they are not that invincible! Hii inawapunguzia kidogo ile ari ya ushindi na itawasumbua sana katika kipindi kijacho. Watahitaji mapinduzi makubwa katika kujipanga ili kuweza kurudisha imani waliyoijenga kwa muda mrefu kwamba wanalijua soka. Fikiria hapa wanachezea nyumbani mbele ya mashabiki wao, je ingekuwa ni kwingineko?
 
Hahahahahahaaaa!
Tatizo hawa watu wamekariri sana! Wanamfanya Neyma kama Mungu! Dogo hayupo ndio kama hivyo! Nnauhakika wachezaji wa brazil wanapsychological disorder na ndio inayowafungisha!

Bado naamini Argentina ni wazuri. Leo Uholanzi Robben et al wanapenya watakavyo. Hili halikuruhusiwa siku ile!
 
kesho UJERUMANI tunatisha! hii gemu ya leo imekwisha, tukutane kesho panapo majaaliwa. alamsiki.
 
Kuna wadau hapa mlikuwa mnaulizia ni kwanini refa hajampa silva kadi nyekundi. Nimeangalia sheria namba 12 ya fifa kuhusu faulo toleo la 2014 ambalo ndiyo linatumika katika mashindano haya (angalia link hapo chini ukurasa 118) . Ni hivi katika kosa la kumshika mchezaji anayekwenda kufunga refa anatakiwa kutoa penati na kadi ya njano na siyo nyekundu.

Nanukuu

"award a direct free kick or penalty kick and caution the player if it happens once the ball is in play"

mwisho wa kunukuu


http://www.fifa.com/mm/document/foo...7_06_2014_new--lawsofthegameweben_neutral.pdf
 

£50 Mil. za David Luiz unanunua kikosi kizima cha Atletco Madrid na change INABAKI


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Kwa Brazil kushika nafasi ya 3 sio priority wamekwisha kuwa mabingwa wa hili kombe. Wadachi hawajaweza kuchukua hili kombe walibahatika tu kuingia fainali kule SA hivyo mechi ya leo walipania ilivyo. Brazil sio big deal kwa sababu walikuwa wanataka kushinda kombe sio nafasi nyingine ... ..
 
Glad you admit this...it is exactly the point I was trying make. Even the Brazilians themselves have come to terms with the fact that they are not that invincible!

Who said they were invincible? If they were invincible they would have won every world cup tournament then....

I'm pretty sure no one thought they were invincible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…