World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Italy hatari Yao ni Pirlo tu kupeleka wing Yao ya kulia England hawamuwezi Pirlo wakimuweza Italy anafungika.
 
Sijaelewa aliyebebwa kwenye machela ana tatizo gani mbona si mchezaji au pressure imempata?
 
Huyu raheem anatakiwa kukua na kujua ni timu gani anacheza nayo....
 
Italy wakiendelea na staili hii watafungwa kama Uruguay, inaelekea hata defending wanataka ku-slow down wakati wanaona tempo ya England ilivyo.
 
What the goal!
Kati kati ya dimba Gerald KAMFUNIKA Pirlo so far!Gerald kahamisha mipira mingi toka B kwenda D na Pirlo hajafanya hivyo bado
 
Naomba wakutane England na Netherlands, round yeyote ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…