Yeah? Supermen my foot! From their performance last week, the word
supermen must have a new meaning! I always believed supermen were supermen, invincible!
Superman: First used in
Germany by Hermann Rab (1527), and also used by Herder and Goethe. Translated as
overman. 1903, coined by George Bernard Shaw to translate Ger. Übermensch, "highly evolved human being that transcends good and evil," from "Thus Spake Zarathustra" (1883-91), by Friedrich Nietzsche (1844-1900).
Hapana. Proven track record ya kuunda timu zilizoshinda kombe la dunia mara 5. Yes, 5 time world cup champions. More than any other country on planet earth. And that's fact, not fiction.
Yes that is a fact but at the end it remains just what it is, history. Habari ya mjini ni kwamba Supermen wa Brazil wametandikwa kisawasawa na si mara moja, mmh mmh, mara mbili nyumbani mbele ya fellow countrymen. Hakuna fedheha zaidi ya hii kwa sababu walijiaminisha wanaweza. This will be remembered for generations, mark my word!
Correction: kwenye Olympics hakuna kombe. Kuna medali. Na mwaka 1996 nilikuwepo Athens, GA Nigeria walipoifunga Argentina 3-2 na kushinda medali ya dhahabu kwenye soka.
Does this really matter? Champions are champions however and whichever way they are crowned!
Lakini Olympics siyo World Cup.
Hayo mashindano ya Olympic kwa vijana ndiyo breeding ground ya future champions wa dunia kwenye michezo yoyote ile na ndiyo yanatoa fursa kwa nchi kujua na kupima nafasi yake huko mbele ya safari.
Oh well....blame it on the Africans.
I regretably do...na hilo limetuganda kama kupe, tutang'ang'ania ushabiki hata pale uwezo wala matumaini ya kupata mafanikio hayapo tofauti na wenzetu...you cant deliver you are out! kaput!
Yes, we got our asses handed to us. But that's okay. And it's okay because sometimes it happens to the best of them.
Glad you admit this but what we all witnessed that day? No, no no no...once is an incidence but twice? To the supermen? To the invincible Brazilians?
What happened was just a minor setback for a major comeback (read: Russia 2018).
I disagree, this was no minor setback, this was a catastrophe! Yes, a minor armageddon!
We already have the blueprint for success.
And who doesnt...Germany, Argentina, Italy, Mexico or Tanzania! And when was it expected to take off? After WC2014?
So keep watching this space.
Yeah thanks, I will do exactly that!