Duh Hapa katavi umeniua......hatuwezi tukafanya maarifa uamie jirani pale darajani....au nenda kwa wale "ma-ibilisi" sijui wanawaita mashetani....
Ha ha haha haaaah,,,,,mkuu mimi nipo arsenal muda mrefu, pitia kwenye ule uzi wetu utaniona.
Unawapa wakati mgumu sana wapenzi wa Arsenal.
Mkuu ni wiki hii mnaanza kucheza mechi za qualification za CL au?
Mnaanza na Red Brigade ya Balkan State au na Brondby ya Denmark au Parma ya Italy?
Gangamala mkuu mnaweza mkatoka msi ionje CL ehehehehe
Nimekukubalii wee kwwli cha boli