Ungemchukia DonDonald mkalale yeye bado nakubali matokeo Mie nishakubali naanza kufikiria timu ya kushangilia sasa ila najipa muda dah sijui Daily Mail walichoandika hawachelewi kuandika Hudgson afukuzwe katumia muda mwingi kukaa kwenye kiti.
Uwanja mbona mtupu au muda bado?
Tusubiri lakini nahisi balaa huko mbele.
Uchida, Kagawa, nagatomo, Honda...... Sijui Suzuki atakuwepo au kastaafu.
Bado watu ndo kwanza wana warm up
Ku8a ya Moto hakuchukuliwa timu ya Japan?
Huku atakuwa mlinzi tu nje kutizama wale watoto warushaji mayai kwenye dirisha.Mchukue wewe huku vitanda vimejaa
Sana imekaa kushoto inatufanya, day and night kuwa macho. In the name of football kiukweli nakesha leo.
Ikumbukwe. Kocha wa England ndiye kocha anayelipwa pesa nyingi kuliko makocha wa timu zote za Taifa zinazoshiriki World cup 2014.
Leo droga bench
Bony ananza
Honda anatisha usishangae mara hii wanatutilia mtu mpya anaitwa bodaboda maana hawa nao mana inamoto nakata natakahara lol
mkuu hizo dalili inaonekana umechoka ila ubishi tu.Mechi si inaanza baada ya nusu saa? na bado uwanja mtupu mhh, labda kama picha walizokuwa wanaonyesha zilikuwa ni za zamani kidogo
Mechi si inaanza baada ya nusu saa? na bado uwanja mtupu mhh, labda kama picha walizokuwa wanaonyesha zilikuwa ni za zamani kidogo
Usiniambie!!!!