Nipo na first aid kit hapa, na daktari Bantu lady yupo, usihofu hiyo presha.Wacha kabisa....full mapresha
super eagle ni Nigeria,,,,,,,,,Ghana ni Black Stars.
Yaah watu walijiandaa hakuna cha majina makubwa.
Kwa hiyo mtani una maanisha Ghana atapita kwenye kundi lake?
na watachomoka na ushindi hawa Switzerland...
Hao waswis hawawezi kufuA dafu mbele ya wanywa kahawa labda waToe draw! TATIANA andaa ambulance yenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya wawili.
hahahaha Mtani najua ulianza kushangilia hahaha
Mtani kweli tuwaombee lakini mimi siweki matarajio makubwa kwaoMtani pamoja na Ghana kuwa kundi la kifo, itafanya maajabu na WC hii si nchi moja ya Afrika itakayosonga zinaweza kuwa mbili. Ni muda na kuwaombea.
Ni kweli TATIANA Kama spain anapigwa tano, Uruguay anapigwa tatu na Costarica. ivory cost anatoka nyuma na kushinda mbili moja dhidi ya Japani nini kitatushinda kupeleka timu moja kati ya tano nusu fainal.?
Daaa ngoma hii nzito sana, hadi sasa sijaona timu rahisi kwenye WC
Mtani kweli tuwaombee lakini mimi siweki matarajio makubwa kwao
Nisije nikabebwa kwa machela...
Naona mnakoswa hapa.