World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hawa wafaransa hizi nafasi walizopoteza mpaka sasa watazijutia.
 
Beckham alipewa Red Card 1998 World Cup kwa kulipiza kisasi kama Pogba alivyofanya.
 
wasipotumia hii nguvu yao vzr france watachoka gemu itawageukia
 
Mpira unachezwa wa nguvu sana na wa kasi, umekuwa mtamu kuuangalia. Kila timu inajiamini na kutafuta goli la mapema ndipo hapo nyasi zitakapowaka moto.
Huu ndio mpira bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…