Kitoabu naomba utuache tuendelee kushabikia wazungu ambao ni wazalendo na mataifa yao,it makes sense kuliko kushabikia mwafrika asiye mzalendo kwa Africa,hajali uwepo wetu viwanjani na nyuma ya tv zetu kumshabikia.stupid kabisa.nimechukia kweli bora nisingetazama upuuzi huu.
yule striker wa nigeria anayeitwa Emenike ni kama Mwaikimba aisee.
Ni wachezaji wawili tuu ndio angalau walicheza mpira, ni Obi Mikel na Odemwingi tuu.