ovyooo bokoharam, ngoja black mamba watutoe kimaso maso leo
yule striker wa nigeria anayeitwa Emenike ni kama Mwaikimba aisee.
Ni wachezaji wawili tuu ndio angalau walicheza mpira, ni Obi Mikel na Odemwingi tuu.
Duh! Hawa Iran wamekuja kukaba tu naona! Timu kama Iran hazistahili kuwepo WC!
Hii gemu haishi kwa draw lazima mtu afungwe
vp utabiri?
mhh pengine tusifike hata hapoNigeria kimeo na huenda Africa tuishie robo fainali
Mutu nyeusi inaingia uwanjani kukipiga na maboya. 21:00, Mutu nyeusi itakipiga na Iran napale 00:00 mutu nyeusi itakipiga na USA. Tuungane kuiunga mkono harakati ya mutu nyeusi kuchukua ubingwa
Haya matimunya africa bana..hawa Ghana wananikalisha machomhalafu walete mambo ya ufazaa....
Leo kwa moyo wote nipo Nigeria.nilifurahishwa na soka yao kwenye kombe la mabara,walicheza vizuri sema tuu,kutupia mpira wavuni ilikuwa shida.
Tutaenda hukohuko kuwacharaza viboko
Yaani uko kwenye akili yangu kabisa wewe.