World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Utabir wangu umepasiiiiiiiiiiii



Cc BAK.... chezea mie weye enh
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
its all over.....belgium 2- algeria 1......africa kama kawaida tumechapwa tena game ambayo tuliongioza kwa muda mrefu!
 
Algeria wapo vyema lkn wamecheza na team nzuri sana!Belgium will go all the way to challenge for a title!Algeria itasonga mbele maana Russia wa kawaida tu!!
 
Waliondoka uzi huu hapa hawa mods wetu!Nalaani tabia hiyo
watu hasira zao wanahamishia kwa wote kufungwa kwa Ghana kumefanya watu waamke nazo sasa zikitolewa timu zote Africa sindio tutapigwa ban wote Humu.
 
I bet Belgium kufika mbali kama Holland na Germany
 
Rasmi natangaza sishabiki timu za Africa tena labda kidogo ivory cost hizi timu pasua kichwa sana utadgani taifa stars
 
Gemu ya maana inaanza soon wacha nkatie nguvu naja.....

TEAMbrazil mikono juu
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Dah Africa wapunguze timu hata tuchangie tutoe timj moja tu ambayo itawakilisha bara zima na ifike mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…