Dah, pachanya mjuvi sana wa haya mambo Mpwa wangu
Brazil hii iko weak...haina what it takes to lift the cup
Cameroon auihesabii kabisa?Hizi timu mbili ndio ninahisi zita qualify
Mkuu upo? Juzi toto tukutu (Balloteli) lilitupa Usingizi mtamu sana..Nilikuwa najua labda hawa Brazil watatusumbua mbele ya Safari ila leo tumeona udhaifu wao...
mastriker wao wote below average...fred,jo,hulk wachovu tu hawawezi kukusaidia kwenye hali ngumu
safi sana sasa kila mmoja asubiri mechi ya mwisho kupigana kufa na kupona kuvuka hatua hii maana wote wana point 4 kila mmoja
mastriker wao wote below average...fred,jo,hulk wachovu tu hawawezi kukusaidia kwenye hali ngumu
Kukosa prolific namba 9, inawaumiza Brasil sana...anyway, hizi timu za Marekani ya Kusini zinajuana....
Bado nipo #teamBrasil all the way to the Final...
Portugal na Ghana wameniangusha jana...
Hizi timu mbili ndio ninahisi zita qualify
Wapuuzi tu hawa, waombe wasikutane na ngoma ngumu ya Buluda, tutawalawiti hadharani
Mkuu, hii Brazil yote ukimuacha Thiago Silva, the rest hakuna hata mmoja angeitwa hata kwenye kikosi cha akiba cha mwaka 1998 & 2002
Wanajuana kwa vilemba hao...hivyo husijipe moyo...
Thubutu wakutane na wabiwa unga nyiye....
Timu ambayo inaweza kuitishia Brasil ni Uholanzi tu...nyiye wengine mtasubiri sana...
Wapuuzi tu hawa, waombe wasikutane na ngoma ngumu ya Buluda, tutawalawiti hadharani
Tatizo kocha Wa Brasil alijaza viungo wengi Kati ambao wamecheza mpira butu kwa muda mrefu!
Ebu fikiria km angekuwepo Willian na Neymar na Bernald alafu kule mbele abaki Jo! Mpira ungekua mzuri sn! Na wangeshinda! Lkn ujaza viungo wengi alafu unategemea Marcelo na Alves ndio wapeleke mipira mbele na kurudi kukaba?! Wakati huo Mexico inacheza mpira Wa kasi!
Tatizo kocha Wa Brasil alijaza viungo wengi Kati ambao wamecheza mpira butu kwa muda mrefu!
Ebu fikiria km angekuwepo Willian na Neymar na Bernald alafu kule mbele abaki Jo! Mpira ungekua mzuri sn! Na wangeshinda! Lkn ujaza viungo wengi alafu unategemea Marcelo na Alves ndio wapeleke mipira mbele na kurudi kukaba?! Wakati huo Mexico inacheza mpira Wa kasi!