World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mpira uishe sasa tujihakikishie kwenda round inayofwata
 
Hata mm DEMBA ni burudani tupu hapa kilabuni ingawaje Mama muuza alizima TV yake kwa sababu eti sasa hatununui tena ulanzi na yy atapata hasara!Kuangalia soka kijijini ni balaa kabisa heri nyie wa mjini
aisee!!!
 
Hizi juhudi zote hawa Australia wangezionyesha kwenye mechi ya chile wangefuzu kwenye kundi make naona spain hatachomoka kwa hawa raia!
 
Mpaka sasa Holland tushafuzu hatua ya mtoano.
 
86min...nikumuomba tu "Mungu wa daudi,Mungu wa yacobo....."matokeo yabaki hivi hivi...
 
Naona game inakuwa chungu sana kama umeweka hela afu timu yako ifungwe
 
Skype vipi Muhongo hajacheka?huku Holland wanaongoza 3 kwa 2
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…