World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kipa huyu ndo maana mourinho alikuwa hampangi kule madrid kwa ajili ya ushenZi wake huu

Nashangaa hata kwanini amewekwa hapo pamoja na kukubali kushindwa mechi iliyopita
 
Aibu sana hii haiwezekani timu imechukua makombe makubwa ifungwe mechi mbili zote za ufunguzi
 
Viungo kama Koke na Mata wanakaa bench wanacheza kina Pedro wamechoka.
 
World cup ina mizengwe mara nyingi bingwa mtetezi huwa anatolewa mwanzo kabisa!! Vp lakini muhongo amelegeza?? make kawanyima burudani gemu la holland lilinoga balaa

muhongo ni mkuda sana mpaka sasa bado amebana mataako yake, yaani sina tena namna nasubiri updates humu jf.
 
Mimi nataka ushindi tu haiwezekani timu nzuri zitoke mapema yote hii
 
Diego Lopez angekaa happ golini, tatizo Spain wanataka mfanya mungu wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…