World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Fight till end one more game to ivorians na poor defending tactics..
 
Poleni waafrika, maana mimi ni nusu huku nusu huko.
Huyo tushakuzoea unasikilizia haya #TeamEngland Leo SG anateleza au anamvunja Suarez hili ndio nataka litokee ili LFC nione nani watamtetea? Manake akivunja Rooney watu wa LFC bila Shaka nchini England watasahau kama wanashabikia England. Ila zaidi ya hapo England to win.
 
Matatizo makubwa yanayotuangusha Waafrika ni Technics, tunataka kucheza mpira wa 1970s ule wa anao anao afu hatuna pace. Tupo slow kinoma. Afu kipindi hiki hakuna timu yoyote ya Afrika iliyokuwa na wachezaji wazuri kama enzi za 90s wachezaji wote ni either average au wazee hasa hawa Ivory Coast. Nashindwa kuelewa kwa nini Nigeria ya enzi zile haikufika mbali katika World Cup wakati ndo iliyokuwa na Wachezaji wakali kulikko zote Afrika. Baada ya World Cup hii Afrika tutakuwa tunapeleka magarasa ambayo hayajawahi kuonekana duniani. Ingawaje Ghana wanaonekana wana uchu wa mafanikio lakini nao wataishia kuwa kama majirani zao Ivory Coast, Nigeria, Cameroon.
FIFA NAOMBA MTUPUNGUZIE IDADI YA WASHIRIKI.
 
Yaani nimebaki kucheka tu...nina hasira sana ngoja nijipige nyeto nikalale labda hasira zitapungua
 

Hahahaahahaaaa sina team leo hapo, nilikutafuta sana jana, rubaman akaniambia umezimia Pazi sababu ulikuwa unashabikia Spain pole sana. Leo tena unataka maumivu?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…