England to win 2-0
Waafrika tunaweza ngono sana
hizi timu za Africa perfomance yake kama ya CCM hakuna kusonga mbele
Nilifurahi sana Suarez alipodaka mpira mwaka 2010 na kuizuia Ghana.
Nilifurahi zaidi yule mkata mauno alipokosa penalty.
Hope leo Suarez ataendeleza furaha yangu kwa kuwakalisha England.
Hapa ndio utakapo jua wachezaji wa England wanabebwa na media zao wakati uwezo sifuri,Sturridge, sterring, welback wanafunga leo na litakalo tia fora Rooney anafunga goli lake la kwanza WC