supa spoti hawaoneshi?
saa tanompira sa ngapi?
Tanesco! tanesco! tanescoooooo..... chonde chonde:sly:
TBC wanaonesha marudio ya fainali huko S.Africa.
hawa jamaa hawakawii kuonesha hii game hapo sa5.
Nipo Brazil leo... Walau niwaunge mkono vijana wangu 🙂
Wanamtafutia mwingereza mlango wa kutokea.Tunapiga tu hata uwanja ukiwa na miiba.cc@mourinho shifta
mie Croatia leo
Sasa ni Opening Ceremony Live