Hivi hawa huwa wanakabana kweli?
German kama si ubingwa, basi japo fainali itacheza. Ni timu nzuri hasa ikiongezewa nguvu na marefa wanaopenda kupendelea ulaya. Lkn je kombe litavuka bahari kitoka kwa walatino?
German kama si ubingwa, basi japo fainali itacheza. Ni timu nzuri hasa ikiongezewa nguvu na marefa wanaopenda kupendelea ulaya. Lkn je kombe litavuka bahari kitoka kwa walatino?
kwa hii kazi,Boateng hawezi kumkaba ile kisawasawa Prince,huoni kocha alimtoaTofautisha kazi na undugu
Hahahahaaa....hii ingine ninashabikia kiuzalendo tu but hope ni chache
Natafuta cha kukoment sikioni
Wadau ngoja niage kabisa usiku mwema
Ghana wamecheza vizuri sana sana
Huyu hatazami mpira yuko kwenye vigodoro ana comment mambo ya mpira hapa
Natafuta cha kukoment sikioni
Mkuu hujakosea kabisa,niko juu ya sofa iliyotengenezwa kwa magodoro sebuleni kwangu, nawatazama akina Sammy Kuffor,Shaun Bartlett,Jay Jay Okocha na wenzao wa Supersport wakiuchambua huu mchezo,wakionyesha highlights za mchezo,wakionyesha reaction za waghana huko kwao kila goli lilipofungwa,etc.nakumbuka picha za mwisho uwanjani zilimwonyesha Muller akiwa kalala chini anavuja damu,huku Andre Ayew akiwa amekaa chini analia,sasa hivi wanamwonyesha Gyan akihojiwa.mkuu soka ni sehemu kubwa ya maisha yangu.i've been watching these games live since world cup 1990,sasa jiulize kama miaka hiyo bongo kulikuwa na any live coverage ya WC!na nimeucheza mpira hadi nimechoka Mourinho