Niliona jinsi mlivyokuwa mkiibeza Algeria!
Hivi hii mechi Portual akishinda si anakuwa na point 3,USA anabaki na point zake 3,German 4 na Ghana 1.
Je mechi ijayo kama ikatokea Ghana akimfunga Portugal si anakuwa na Point 4,na ikatokea USA akadraw na German si anakuwa na 4,au itokee tena Portugal aje akadraw na Ghana ambapo anakuwa na point 4,na USA adraw na Germany.
Kwenye hiyo situation nani anasonga mbele???
Hahahaaaaa......kwann
Hivi hii mechi Portual akishinda si anakuwa na point 3,USA anabaki na point zake 3,German 4 na Ghana 1.
Je mechi ijayo kama ikatokea Ghana akimfunga Portugal si anakuwa na Point 4,na ikatokea USA akadraw na German si anakuwa na 4,au itokee tena Portugal aje akadraw na Ghana ambapo anakuwa na point 4,na USA adraw na Germany.
Kwenye hiyo situation nani anasonga mbele???
Germany aki draw na USA atakuwa na points 5 so ataongoza kundiHivi hii mechi Portual akishinda si anakuwa na point 3,USA anabaki na point zake 3,German 4 na Ghana 1.
Je mechi ijayo kama ikatokea Ghana akimfunga Portugal si anakuwa na Point 4,na ikatokea USA akadraw na German si anakuwa na 4,au itokee tena Portugal aje akadraw na Ghana ambapo anakuwa na point 4,na USA adraw na Germany.
Kwenye hiyo situation nani anasonga mbele???
Huwa sisinzii but naumwa kichwa hatari nisipolala vya kutosha
Goal difference Mkuu
Upo kwenye kideo badala ya kupata natural heat
Zile imani kuwa Marekani haijui soka zitauliwa baada ya World cup hii . vipi mbona mpira umesimama kwa muda palikuwa na radi nini ? naangalia ktk television ya kispanish sielewi kinachoendelea
Wanapoangalia goal difference wanaangalia ya kufunga kwanza halafu ya kufungwa?au ya kufungwa then ya kufunga?
Wanapoangalia goal difference wanaangalia ya kufunga kwanza halafu ya kufungwa?au ya kufungwa then ya kufunga?