World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hivi ronaldo delima si anaweza kupata namba mbele ya hawa kina hulk na Shaggy?
 
mimi nilishasema hawa #TeamBrazil weupe tu........najua cameroon watafungwa ila wanaonyesha udhaifu wa brazil
 
sasa hawa TBC ndio nini kuonyesha game moja kwenye chaneli mbili yaani tbc1 na tbc2 wanaonyesha game hio hio cameroon vs brazil!!!!

Yaani hawa sijui vipi. Nilidhani wakati huu hizi chaneli mbili ingekuwa muda muafaka wa kutuonesha mechi zote..
 
Hawa wa Kameruni mbona wajinga hivyo....ndo nini sasa kumsukuma Neymar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…