Wewe si mbrazil mbona wataka kuwa kotekote?
Ilinikera kwa sababu haikuwa mechi ya kufungwa ile, Spain hawakuwa wazuri hivyo. Hivyo hivyo nahisi ndiyo yatakayotokea wakati usiotarajiwa, hasa kama watakutana na timu dhaifu ya Brazil.
Ney naye anataka kusababisha nilale mapema.
Jamani mpra hatujui na ubabe nao tushindwe kuonyesha wakati tumejaaliwa miili!!?
Jamani mpra hatujui na ubabe nao tushindwe kuonyesha wakati tumejaaliwa miili!!?
Song aliniudhi siku ile alivyompinga ngumi mcroatia,na wale walivyogombana,nikijumlisha na walivyokuwa wanadai Posho,hawa wana matatizowashavuta bangi zao ndio wanakuja uwanjani!!!
Ney naye anataka kusababisha nilale mapema.
Hawa wa taifa stars hata wimbo wenyewe kuuimba huenda hawaujui......