Yaani mtu unacheza karibu na goal lako,halafu unarembesha namna hiyo,wamefungwa kijinga sana,sijui ni kujiamini kupita kiasi?majangaSijawahi kuona mijitu mijinga kama hii ya Côte de Voire...imbeciles!
Mimi nawaangalia tu wachezaji wa Ivory Coast wakati mpira haujawafikia, ni kama vile hawana habari hapo uwanjani wanafanya nini. Wanapopewa pasi ndio wanazinduka kama vile walikuwa usingizini, hawajui wafanye nini na hiyo pasi kwani ni kama vile wanashangaa mpira kuwajia. Sasa kwa sababu hawakujitayarisha hapo ndipo wanaanza kuhangaika waufanyie nini huo mpira au waupeleke wapi!
Ivory coast wanatolewa leo.