World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Lineup[h=3]Brazi .....12 Julio César 02 Dani Alves 06 Marcelo 17 Luiz Gustavo 03 Thiago Silva 04 David Luiz 07 Hulk 08 Paulino 09Fred 11 Oscar 10 Neymar

Croatia01 Pletikosa 11 Srna 02 Vrsaljko 10 Modric 05 Corluka 06 Lovren 18 Olic 07 Rakitic 09 Jelavic 20 Kovacic 04 Perisic[/h]
 
Hii ndo lineup ya timu zote
 

Attachments

  • 1402602298897.jpg
    58.7 KB · Views: 158
Leo naona una raha unafaidika na freeview channels kuona mpira

Hawa Croatia sioni kama watatoa upinzani leo, wewe unaonaje?
rubaman mpira mnaona hapo?
hehehe dongo lol Leo Brazil anapigwa 2-1 au draw tutaona beki Yao nzuri na kati pazuri.
 
Huyu Carol Tshabalala Wa SuperSport Si Haba
 
Jamani hili kombe la dunia wanawake ongezeni umakini kwani hata ratiba hatuzijui kwasasa muda Wa kurudi ni wowote
 
Leo naona una raha unafaidika na freeview channels kuona mpira.

Hawa Croatia sioni kama watatoa upinzani leo, wewe unaonaje?
rubaman mpira mnaona hapo?
Mambo ya jumamosi na uzi wako wa 82!
 

Attachments

  • england%2082.jpg
    7.8 KB · Views: 144
Last edited by a moderator:
naona wabrazil wamejaa utafikiri hakukuwa na jambo.
 
Wadau salaam!
Huu ni uzi maalum kwa ajili ya mechi tajwa hapo juu!
.Kwa sasa wachezaji wote wapo uwanjani wanaimba nyimbo za taifa lao!
 
Leo yoyote yule anaweza kupigwa, si Croatia tuu hata Brazil anaweza kufungwa hapa.
 
Naona njiwa wana rushwa ingekuwa match ya simba na Yanga pasinge kalika.
 
Crotio wanakosa goli hapa.
 
Leo naona una raha unafaidika na freeview channels kuona mpira

Hawa Croatia sioni kama watatoa upinzani leo, wewe unaonaje?
rubaman mpira mnaona hapo?

Brazil atagongwa then England watatolewa katika Group stage watalalamikia joto kali ndo limechangia kutolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…