Tupo tumejaa tele kama pishi ya mchele wa Kyela.
Jamaa wanaimba wimbo wa taifa kwa hisia kali sana
Alafu wanaumba kama wanakimbizea
Halafu wanawatwisha mzigo wa kusema kwamba wamekosa nidhamu,mtu kuhoji haki yake tayari ni utovu wa nidhamu,kwanini FIFA nao hawahoji matumizi? hili jambo la wachezaji kutokulipwa wanalichukuliaje?
Sina imani na Webb
teh teh teh ahaa vijana machachari Chile wanakosakosa kutengeneza majaro hapa aaaiseee!
Chile wameanza kwa kasi
Webb atafanya makeke,Brazil lazima wasonge
Ndo wanaamka leo,toka miaka na miaka team zinagoma,ila bora kuliko wangeendelea kuzituma kwenye nchi husikaJana FIFA wamesema kuanzia 2018 wamesema kuwa watakuwa wanahitaji majina 23 ya wachezaji walio teuliwa na pesa zao zinaingia direct kwenye akaunti zao!Milion 8 dola kuanzia 2018 hazitumwi tena kwenye chama cha soka cha nchi
hahahaaah,,,,,,,kweli anawarepresent vizuri.Watangazaji wa Kiingereza wanakwambia England still in Brazil being represented by Webb
#TeamChile maliza kabisa hao wauza unga.
Ni yeye mkuukumbe mwamuzi wa leo ni mheshimiwa webb?