Hiyo ni pai mkuu hakuna mjadala
Wamtie william
Hii game ya leo iwe kwa penalt au ngumi leo brazil anashinda
basi ngoja nitubu kabisa zambi zangu maana leo ni lazima
wamtie,,,,,,!! No wamuingize......Wamtie william
Leo mimi naangalia mpira kwa kurelax,nipo Brasil kwa leo tu!Brasil ni mchepuko wangu wangu,ingekuwa njia kuu France inacheza weeee,Bp ingepanga na kushukasawa mkuu ila mpira wa leo una mashinikizo ya kupanda na kushuka
Webb leo kadi ameacha chumbani au haoni wanatuumizia watu
Ban inakuhusu.We mtu una kitu gani leo
Haya wajamaa chile leo wanafanya ubabe
Neymar kapanic tayar
wamtie,,,,,,!! No wamuingize......
We mtu una kitu gani leo
Ban inakuhusu.