World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

mchana nimewaambia hii game itaenda 1-1 then extra time hope matuta. Tukienda kwenye matuta brazil byebye
Kwenye matuta kwa kweli mchepuko wangu Brazil anatoka,dah ila sikutaka watoke mapema,japokuwa niliamini kuwa hawawezi chukua kombe
 
pamoja sana mkuu, haya wadau wa makelele njooni sasa nimerudi kwenye kipindi cha lala salama, kucheka ama kununa vyote ni sawa kwa leo

Haha tupo kaka mnongea ukwelııı sana#team Brazıl
 
Gary Medel akitoka hapo ni advantage kwa Brazil!Huyu beki mzuri sana
 
Kwenye matuta kwa kweli mchepuko wangu Brazil anatoka,dah ila sikutaka watoke mapema,japokuwa niliamini kuwa hawawezi chukua kombe

Hahahahaha brazil wamekosea kutomiliki kiungo ndipo habari yao imeisha.
 
Invisible BAN haihusiki na extra time ikitokea wakaenda penalties BAN hainihusu
 
Last edited by a moderator:
Hawa Chile wanataka Penalties tuuu wajinga sana hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…