World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Haha mkuu salama lakini?

Mimi nibuheri wa afya sijui wewe? Hofu na mashaka ni hayo mapresha unayoyapata kwa kushabikia timu mlenda zinazopita kwa kudra ila siyo mbaya ndo mambo ya soka hayo.
 
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!!!! Pole zako oga maji ya baridi kuondoa mchoko 🙂🙂

Wazo zuri ngoja nilifanyie kazi oya colombia na uruguay bado tu? Nataka nikirudi hapa kipindi cha pili nijue nani mpinzani na nani mdau mwenzangu.
 
basi tu pressure tupu

teh teh teh, ukiwa na presha unashauriwa uachane kabisa na hizi makitu zinaitwa mpira wa miguu unaweza kata mawasiliano ya mwili na roho kabla ya siku yako. Hizi zinatufaa sisi tunaojua mpira una matokeo mawili hasa ktk kipindi hiki cha mtoano yaani kuna kupigwa na kupiga, hakuna cha droo ohooo.
 
Haha mkuu matimu ya uhakika ndo yanatoka so bora haya matimu yetu yanayopenya kwa kudra za kipa
Mimi nibuheri wa afya sijui wewe? Hofu na mashaka ni hayo mapresha unayoyapata kwa kushabikia timu mlenda zinazopita kwa kudra ila siyo mbaya ndo mambo ya soka hayo.
 
Haha mkuu matimu ya uhakika ndo yanatoka so bora haya matimu yetu yanayopenya kwa kudra za kipa

Mkuu kwanza wewe timu gani kati ya colo na urug? Tuanzie hapo kwanza ili nijadili kulingana na muktadha.
 
Mimi hakuna nilichokiminya sema nilikuwa, situlii natembea huku narudi kule. Utafikiri mimi ndio coach wa Brasil aisee asikwambie mtu ile presha ilikuwa juu sana.

Ha!ha! Kama Nakuona huku mikono imekumbatia kifuani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…