Imekuwa NBA sasa mapumziko kweli Qatar itawezekana Joto lake wanazimia.
Huyu kipa wa Holland ndo namba ONE wao au ?
unauonaje mpira kiongozi?
Naona uholaanzi anacheza kwa kuvizia vizia sana.
Mbona wanatoka nje tena jamani, kama vile basketball..!!
Bongo tunavyoiga vitu vya nje usije kushangaa TFF wakaiga hii cooling break msimu ujao, wakati miaka yote haikuwepo, pia joto la Bongo halina Humidity kali kama Amerika ya Kaskazini na kusini.
Huko Qatar mbona watakuwa wanawekwa kwenye majokofu kabisa au watatengenezewa cold suits
Ipi hiyo dada masai?
FIFA wanawanyang'anya Qatar uandaaji wa WC!Waliyo yaona hapo Forteleza yanawatosha na ile kesi ya tuhuma za rushwa ndiyo inawaondoa!Huwezi cheza mpira Qatar hali ya hewa haihusu
Hivi sheria 17 za soccer zinatambua hii kitu 'cooling break'
Kwa hali hii ya joto, sijui world cup 2022 huko Qatar itakuwaje, huenda watakuja na majokofu kwa kwenda mbele..!!!
This game is too boring
ile ITAKAYOFUNGAIpi hiyo dada masai?
FIFA wanawanyang'anya Qatar uandaaji wa WC!Waliyo yaona hapo Forteleza yanawatosha na ile kesi ya tuhuma za rushwa ndiyo inawaondoa!Huwezi cheza mpira Qatar hali ya hewa haihusu