Timu za Europe watoe sababu zao zisio na msingi basi Final ipigwe nje ya nchi Alaska.
tupo tupo tunakufa na tai zetu shingoni
Kwani kuna ubaya tukiiaga Holland muda huu?
#teammexico #
hahahahah yani wanakufa holand kiduwanzi ivi, I cant beliv
Hakuna cha joto wala nini! Wapigwe tu! Mbona akina Giovanni nao wametoka Ulaya juzi juzi tu?
pole sana banane miguu mpate goli