Tena mechi ijayo anacheza na Chile!
Asipoangalia anaweza akafungwa na Chile pia.
Naona Australia washaanza kurukaruka hapa!!
Naona hii match mchezaji mweusi ni REFA tu
Wachezaji wamezeeka Hakuna mbadala basi Ni kupigwa tu!
Mrembo by Nature, chile hapaOkay back to Chile vs Australia ....Spain is gone na midebwedo yake. Tugange yajayo. Nani ni Chile tujitambue mapeeemaaaa mambo ya kuibuka Kama dengue inahuuuuu. Tangaza nia mapema