World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Hapa kinajadiliwa maamuzi kubadilishwa au uhalali wa penalt?
Nadhani umeingilia uchangiaji wa hoja katikati, pata mtiririko wangu kwanza na huyo niliyemuuliza swali ndipo urudi tena....
 

Duh!!! kweli lugha za watu kila mtu ana tafsiri yake.....
 
Penalti c halali ila wazungu nao waone kuna uonevu wa marefari.mexico walipaswa kushnda ile gemu walicheza vizuri sna
Nilidhani hata Ivory Coast alipotolewa kwa penati ya utata ya Ugiriki dakika ya 92 mngeleta uzi humu....
 
hahahahaaaaaa:sly: Jamani jamani jamaniiiii tusije kimbiana baada ya mchezo nigeria wapo vizuri hao ufaransa wenyewe walikua wanaombea wasije kua nao kwenye knock out stage coz ni wagumu kufungika.

ufaransa wana timu ya kawaida tu sema walikutana na vibonde. Ona walivyosumbuliwa na kupotezwa kabisa na ecuador. Nigeria wamesema ufarnsa wasitegemee mteremko.
 
ufaransa wana timu ya kawaida tu sema walikutana na vibonde. Ona walivyosumbuliwa na kupotezwa kabisa na ecuador. Nigeria wamesema ufarnsa wasitegemee mteremko.

Kabisa Meandu, yaan mimi nawaaminia Nigeria kwakweli ufaransa nimeona mchezo wake ni wakawaida sana compare na nigeria.
 
ufaransa wana timu ya kawaida tu sema walikutana na vibonde. Ona walivyosumbuliwa na kupotezwa kabisa na ecuador. Nigeria wamesema ufarnsa wasitegemee mteremko.

Nigeria sio team ya kubeza,argentina wamshukuru messi,kuna mtu huyo ahmed mussa,anajua kucheka na nyavu
 
Kabisa Meandu, yaan mimi nawaaminia Nigeria kwakweli ufaransa nimeona mchezo wake ni wakawaida sana compare na nigeria.

kawaida sana halafu mtu unaona unafanya ushabiki tu. wengine wanaiponda aljeria kuwa hawafiki popote la hasha mpira dk 90 hao ujerumani wanaweza kukalishwa chini pia.timu zote zilizoingia 16 ni bora mwishoni mwa siku ni yule mwenye bahati zaidi ndiyo anashinda.
 
wewe uko tayari kufanya kazi bure? posho ni haki yao, mpira ndiyo kazi yao ni haki kudai chao mapema kwenye hizi nchi zenye viongozi washenzi!

Mosad11 washenzi kama Muhongo na bosi wake wanakubania gesi!!
 
Labda kama watu wengine wana matatizo ya macho lakini nilichokiona Robben alikanyagwa na akaanguka wala hakujiangusha. Penati ilikuwa halali wala haihitajiki uzoefu wowote wa soka kung'amua kweli huo
 
Nigeria hii ikimfunga France au hata ikimsumbua tu nalihama jiji hili lenye joto na kwenda kuishi Kyela na mchumba wangu tukalime mbatata!!

Benzema anaweza piga hat trick leo

Nkamu ghwangu hili jiji ni tamu tafadhali!!! mpira dk 90 ujue!!!
 
Katika kombe la dunia leo timu mbili kutoka bara la Afrika zitaamua hatima yao wakati Nigeria inaikabili Ufaransa na Algeria itapambana na Ujerumani.
Ki ukweli ningependa timu hizi zinazotuwakilisha waafrica zisonge mbele kwenye mashindano haya makubwa duniani
Lakini nadhubutu kusema leo ndio mwisho wa timu hizi tena watauliwa kwa aibu kubwa sana.Mchezo walioonyesha Nigeria mpaka sasa 16 walienda kwa zali tu la kisoka hata Algeria hawana uwezo hata chembe wa kuwazuia vigogo hao wa soka barani ulaya
Ninaona jinsi Muller na Benzema wanakuwa wafungaji bora wa mashindano haya kupitia mechi hizi leo.
Hii ni kwenu #Teamafrica
 

subiri dk 90 utakuja kufuta kauli yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…