subiri dk 90 utakuja kufuta kauli yako
Wale wawekezaji leo wekeni hata nyumba zenu #Algeria anamfunga #German
#Nigeria atambania #Argentina
Wale wawekezaji leo wekeni hata nyumba zenu #Algeria anamfunga #German
#Nigeria atambania #Argentina
Hapo siyo ufaransa au mi ndo nimejichanganya?
hahahahaha. kilichofanyika ni kuwa tuzo zilitolewa asubuhi kabla ya show yenyewe na kurekodiwa. sasa watu wanasubiri eti ooh bado masaa 3 inakuwaje mshindi amepatikana?huko aliko malafyale anaskia aibu ye kila kitu anafikiri ni picha ya mama wema (photoshop)
Tusitegemee Kuona Timu Yoyote Ya Africa Ikiingia Robo Fainali Hyo Nigeria Bora Ingempeleka Davido Acheze Kuliko Hao Wachezaji Wanaogoma Bila Uzalendo Wakizubaa Benzema Anachukua Golden Boot Leo
Tusitegemee Kuona Timu Yoyote Ya Africa Ikiingia Robo Fainali Hyo Nigeria Bora Ingempeleka Davido Acheze Kuliko Hao Wachezaji Wanaogoma Bila Uzalendo Wakizubaa Benzema Anachukua Golden Boot Leo
Tusitegemee Kuona Timu Yoyote Ya Africa Ikiingia Robo Fainali Hyo Nigeria Bora Ingempeleka Davido Acheze Kuliko Hao Wachezaji Wanaogoma Bila Uzalendo Wakizubaa Benzema Anachukua Golden Boot Leo
TANESCO CHONDE CHONDE TUTAONANA WABAYA LEO !!!!ohoooo manake najua yule mkata umeme anasubiri mpira uanze alete ujinga wake,mmekata umeme tangu asubuhi tumevumilia jioni hii tutaonana wabaya
Tusitegemee Kuona Timu Yoyote Ya Africa Ikiingia Robo Fainali Hyo Nigeria Bora Ingempeleka Davido Acheze Kuliko Hao Wachezaji Wanaogoma Bila Uzalendo Wakizubaa Benzema Anachukua Golden Boot Leo