Pole mamy ndo mpira huo,mshindi leo ilikuwa apatikane,im happy for POGBA huyu ni Muafrica kumbuka na kaka zake wawili wanachezea timu ya taifa ya Guineehuyu mtangazaji anavyosema Nigeria zero nasikia vibaya
ndio walisema hivyo......
Basi tena BOKO haramu wataendelea kuwashikilia mateka maana walitoa offer wangeachiwa km Nigeria wangeshinda
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Ahsante Nigeria
Shabikia afrika yako wewe
Tumeaga ila ndo ivo "tff" waache kula pesa zao
Anaitwa nani?yule omolo?Huyu kibamia wa France ni noma na nusu. ngoja tuwapge la tatu.
Mhhh!!!! Inauma ujue!!! Duh!!!
Yana hawa mambulula wangejua watu tunaumia kiasi gani huku timu za Africa zikifungwa.....wasingecheza kikocho hivi....yaaani!
Algeria anazima ndoto za mkoloni leo
Sijui niache tu kuangalia haya mashindano maana timu yangu ilishatoka kitambo, lakini hizi timu nazoshabikia kwa kujitolea zinanipa tu presha kila siku.
haha does it make any difference