Jinsi Wamarekani walivyorogwa na Macelebrity kila macelebrity wanavyozidi kupenda Soka na kuhudhuria mechi ndo jamii nayo itaupenda huu mchezo.
Marekani watashinda hii game, dakika za mwisho kabisa tena kwa acounter attack.
Waache hao belgium wacheze cheze na kujisahau kidogo ndo watajuta.
Liverpool wameanza mazungumzo na wakala wake juzi!Lukaku mechi 2 za kwanza madudu matupu hachezi tenahuyu mtoto Origi muda si mrefu tutasikia timu kubwa zinamfukuzia mpaka sasa kashamfunika Lukaku.
Sielewi US wameshikwa wapi manake game ni ya upande mmoja.ila Belgium harako creative ndani ya box otherwise game ilishaisha zamani.Belgium wakipunguza tempo hawa US watarudi na goli.US wamekamatwa lakini hawahitaji nafasi nyingi kushinda.
Belgium wakifungwa hii mechi lazima watoe chozi
Maana kwa kiasi kikubwa wamemiliki mchezo ila finishing yao imekaa kiafrica.