World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Fernandinho ni noma sana hapa katikati ,ananikumbusha enzi zangu napiga mido ya chandimu
 
brazil kama waafrika kila mtu anataka afunge yeye
 
Duh! Arifu, wewe kila timu unayoshabikia uwa inaonewa na refa?!?

Ha ha ha mkuu watu wana tempa zao humu wengine washachana mikeka!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Sijui kwa nini kamchezesha huyu anacheza rafu za kijinga sana.

Gustavo (anayeanzaga) alipata yellow card ya pili dhidi ya Chile..hivyo yupo nje kwa suspension...
 
Reactions: BAK
Brazil wanahakikisha Cuadrado na James hawachezi mpira wako kwafanyia cynical rafu, na refa hawalindi kama anavyomlinda Neymar
 
Neymar jr anakimbiza hatari, nadhan Catalans wanashindwa kumtumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…