Kwahiyo leo Mtaalam Messi baada ya mechi, atachukua mpira wake?
#teamAtakayeshinda , ila kauli itabadilika tu baadae muda kidogo kabla ya mechi kuanza.
Plz Plz ukiamaua kubadilisha mawazo plz usichague timu ninayotaka ishinde
Messi sio Neymar kaka!!Pekee yake anaweza akawahimili hawa!Pekee yake bila msaada wa yyt!Hao mabeki wao wanatakiwa wakabe tu
Leo ubeligiji.
#TeamBelgium oyeeeee