sina uhakika sana na hilo. mpira dk120
...na maguu 12 ya mtu mzima mwenye akili timamu AKA matuta...msianze kulalama tu usingizi umewazidia lol!!! Wapi #TeamBrazil!? #TeamBrazil mpo!?
Hahahahahahaaaa, leo atacheka
mechi hiiingechezwa kesho brazil wangeshinda kirahisi lakini siyo leo
katavi chagua BRAZIL plzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!
1994 Mkuu unanikumbusha Bebeto,taffarell,capt Dunga na mzee De seuza Romalio.....ha ha ha hii dunia nzima ilikubali....hawa kina Neema hakuna kitu leo watashushiwa mzigo km wa tani 18 wa mjerumani......Go Team GERMANY!Hahahahaahahahahaaaa Brazil ya mwisho kuishabikia ilikua ya mwaka 1994, na huu mpira mixer mitama mnaocheza mwaka huu kama Stoke City ya Tony Pulis, nachoweza kuwasaidia ni kuwatakia kibano tu cha mkoloni
Noooooooooooooooooo!Katavi uteuzi wa kwanza ndo unaheshimika!Hahahahahahah lol!!! Ni aje banaaa? Kishabadili mawazo kaichagua #TeamGermany π
1994 Mkuu unanikumbusha Bebeto,taffarell,capt Dunga na mzee De seuza Romalio.....ha ha ha hii dunia nzima ilikubali....hawa kina Neema hakuna kitu leo watashushiwa mzigo km wa tani 18 wa mjerumani......Go Team GERMANY!
kila nikiiona first 11 ya Brazil na kuliona jina la Fred a.k.a shaggy basi kamoyo kanadunda!