World cup Qatar 2022 qualification draw

Kundi rahisi hili tukikomaa tunaweza songa mbele

Ngapi zinafuzu? 1 au 2
Hapo, zinatakiwa timu kumi. Kila kundi timu moja.
Then wanadraw timu makundi matano home and away.

Zinapatikana timu tano zitakazoenda qatar.

Kwa hio sio kazi ndogo chief.
 
Hapo, zinatakiwa timu kumi. Kila kundi timu moja.
Then wanadraw timu makundi matano home and away.

Zinapatikana timu tano zitakazoenda qatar.

Kwa hio sio kazi ndogo chief.
Siku zote mkuu kwenda world cup si rahisi ila Compare upangwe na Egpty au Senegal bora hao Madagscar ama Congo
 
Hapo, zinatakiwa timu kumi. Kila kundi timu moja.
Then wanadraw timu makundi matano home and away.

Zinapatikana timu tano zitakazoenda qatar.

Kwa hio sio kazi ndogo chief.
Hapa wale mafundi wa Gambosh wahusishwe tunachukua nafasi ya Kwanza, kisha tutakayepangwa naye home/away nae tunampiga, sisi hao Qatar na Samagol wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo akili umeokota wapi mtani?
Hili kundi tunapigwa tunachakaa aliyetubeba AFCON yuko na Kenya 😝😝 hatuna bembea sasa
Akili ipo siku zote mtani. Unalijua sana hilo lakini ndiyo mambo ya watani tena.

Kundi hilo tunaweza ondoka labda point moja au mbili za sare. Kwingine ni kupokea vipodo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…