WLF Tanzania
Member
- Oct 9, 2014
- 38
- 22
Picha zaidi za kilichojiri kwenye kampeni hizo;
Kwanini hizi kampeni za uzinduzi hamkwenda kufanyia kwenye mkoa husika ambao ni Kigoma? Kwanini kila kitu Dar?
Ila mmefanya Jambo zuri sana maana mikoani hasa sehemu za vijijini hawana habari na suala la mpango wa Uzazi,wao wanachojua ni kuzaa.
Hasa familia masikini ndio wahanga wakubwa wa kuzaa zaa kama sungura. Hapa naamini msemo unaosema kuwa "starehe ya Masikini ni Kuzaa"
Kazi njema WLF.
Lung na uzazi wa mpango wapi na wapi???
Anyway kampeni ni nzuri