World war 1, Dar es Salaam

World war 1, Dar es Salaam

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
IMG_20240416_164616_289.jpg


Dar es salaam
Ikulu ya Mjerumani ikiteketea baada ya kupigwa kombora toka kwenye meli ya mwingereza.
Kwenye eneo hilo ilibidi mwingereza ajenge Ikulu mpya

Miongoni mwa maeneo yaliyoshambuliwa siku hiyo ni pamoja na mnara wa mawasiliano (wireless tower) ambao Wajerumani walikuwa wakiutumia kwa mawasiliano ya ndani na nje ikiwamo kwao Ujerumani na duniani kwa ujumla. Lengo likiwa kukata mawasiliano kati ya vikosi vya Wajerumani vilivyoko Afrika Mashariki na kule Ulaya. Hata hivyo, Wajerumani walikuwa na minara mingine miwili mikubwa na yenye nguvu iliyokuwa Tabora na Bukoba. Historia ya Vita ya Kwanza ya Dunia huku Afrika Mashariki inavutia sana na ina mafunzo mengi.

IMG_20240416_164826_098.jpg

Ikulu ya Mjerumani jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa na makombora ya mwingereza

IMG_20240416_164944_158.jpg

IMG_20240416_164943_801.jpg

Madhara ya vita ya kwanza ya dunia jijini dar es salaam
IMG_20240416_165118_268.jpg

Majeruhi wa vita
Hii ilikuwa Battle of Mahiwa,kusini ya nchi ya Tanganyika.Ukiondoa battle ya Tanga hii ilikuwa kubwa, askari wa Waingereza 2700 walipoteza maisha wengi wao wakiwa South africans na Nigerians.Upande wa Mjerumani askari 600 walipoteza maisha kati yao wazalendo wakiwa 570. Vitabu vyingi vya historia vimeandikwa kuhusu hii battle na ile ya Tanga.

Hii battle Mjerumani alishinda lakini jeshi lake likiwa dogo askari 600 waliouawa walikuwa wengi ikabidi Von Lettow akimbilie Portuguese East Africa ambayo ni Msumbiji kuanzia hapo wajerumani wakawa wanapigana kama askari wa msituni.Mjerumani von lettow ikumbukwe kiswahili kilipanda na alikuwa kipenzi cha askari wazalendo
 
Hivi na hii vita kuu ya tatu ya dunia na sie tutapigana? Au
 
View attachment 2965477

Dar es salaam
Ikulu ya Mjerumani ikiteketea baada ya kupigwa kombora toka kwenye meli ya mwingereza.
Kwenye eneo hilo ilibidi mwingereza ajenge Ikulu mpya

Miongoni mwa maeneo yaliyoshambuliwa siku hiyo ni pamoja na mnara wa mawasiliano (wireless tower) ambao Wajerumani walikuwa wakiutumia kwa mawasiliano ya ndani na nje ikiwamo kwao Ujerumani na duniani kwa ujumla. Lengo likiwa kukata mawasiliano kati ya vikosi vya Wajerumani vilivyoko Afrika Mashariki na kule Ulaya. Hata hivyo, Wajerumani walikuwa na minara mingine miwili mikubwa na yenye nguvu iliyokuwa Tabora na Bukoba. Historia ya Vita ya Kwanza ya Dunia huku Afrika Mashariki inavutia sana na ina mafunzo mengi.

View attachment 2965481
Ikulu ya Mjerumani jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa na makombora ya mwingereza

View attachment 2965483
View attachment 2965485
Madhara ya vita ya kwanza ya dunia jijini dar es salaam
View attachment 2965487
Majeruhi wa vita
Hii ilikuwa Battle of Mahiwa,kusini ya nchi ya Tanganyika.Ukiondoa battle ya Tanga hii ilikuwa kubwa, askari wa Waingereza 2700 walipoteza maisha wengi wao wakiwa South africans na Nigerians.Upande wa Mjerumani askari 600 walipoteza maisha kati yao wazalendo wakiwa 570. Vitabu vyingi vya historia vimeandikwa kuhusu hii battle na ile ya Tanga.

Hii battle Mjerumani alishinda lakini jeshi lake likiwa dogo askari 600 waliouawa walikuwa wengi ikabidi Von Lettow akimbilie Portuguese East Africa ambayo ni Msumbiji kuanzia hapo wajerumani wakawa wanapigana kama askari wa msituni.Mjerumani von lettow ikumbukwe kiswahili kilipanda na alikuwa kipenzi cha askari wazalendo
Somo la historia kwenye shule zetu ilipaswa iweke matukio ya ukweli kama hili,badala ya kudanganya watu kuwa mwanadamu alikuwa sokwe.
 
Vita ya tatu ya Dunia ni ALMAGEDON,

Askari wake ni watu nusu mtu nusu Pepo mixer na askari wote wa kuzimu against Waliogoma kumsujudia mnyama.

Moto Kutoka juu, itashuka kuwaramba hao mashetani.

Hiyo vita Bado sana, maana Hilo jeshi la watu nusu mtu nusu Pepo Bado wanajikusanya na kujipenyeza Kila mahala duniani.

Kinachotokea sasa ni vita sehemu sehemu na kutishana/ tetesi za vita.

Tusubiri.
 
Somo la historia kwenye shule zetu ilipaswa iweke matukio ya ukweli kama hili,badala ya kudanganya watu kuwa mwanadamu alikuwa sokwe.
History iliyofundishwa ni uongo kuna kitabu nilikuwa nakisoma kinaitwa Pugu hadi Peramiho. Kimeelezea mengi sana kuhusu Vita ya Majimaji, Utawala wa Mkwawa mengi tulifundishwa ni matango pori. Na ndio maana hayana impact yoyote kwenye maisha ya sasa
 
Back
Top Bottom