Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipi kizimgatiwe kwenye kuandika wosia?Utakua halali, mkeo sio lazima asaini au atajwe ktk wosia wàko, sio lazima.
Na je kama kwenye wosia wako kuna Mali mlichuma pamoja?Utakua halali, mkeo sio lazima asaini au atajwe ktk wosia wàko, sio lazima.
NasubiriNa je kama kwenye wosia wako kuna Mali mlichuma pamoja?
Wosia unatakiwa usainiwe na mtoa wosia akiwa na akili zake timamu,mbele ya mwanasheria au mtu anaeaminikaJe, Mke wangu akiwa hai nikaandika wosia bila yeye kuweka saini kwenye wosia, Je wosia huo utakuwa halali au batili? Naomba case law inayoelezea scenario hiyo.
Vp kama izo Mali unazo taka zitolea wosia mmechuma wote na mkeo, kisheria imekaaje.Wosia unatakiwa usainiwe na mtoa wosia akiwa na akili zake timamu,mbele ya mwanasheria au mtu anaeaminika
Ukisaini na mkeo unakua sio wosia huo