Wosia wa Baba wa Taifa.

Wosia wa Baba wa Taifa.

kikurunge

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
669
Reaction score
661
Wasalaam waungwana!nawasalimu katika Upendo na Amani.

Ndugu zangu Mwl.Nyerere alitufundisha na kutuusia juu ya mstakabali wa taifa letu tukiwa kama nchi changa na maskini kuwa ilituendelee tunahitaji vitu vinne.
-Aridhi
-Watu
-Siasa safi na
-Uongozi bora.
Je katika vitu hivi vinne,tumefanikiwa kuvitumia ili kujiletea maendeleo kama vilivyoainishwa?
Karibu tujadili.Matusi no-no-no.
 
Back
Top Bottom