Hahahaha! Mwaka mupya na mambo mapya....babu for wajukuuz!
Nahitaji kwenda nao mbinguni!
Hii ni offtopic kwa mujibu wa babu!
mi nilikuwa naomba lithanks lako babu mbona mbahili ivo halafu hii signature ubadili basi ifanane na maombiBaba hachaguliwi...........:lol::lol:
Mama hapigiwi kura......watoto siri ya mama..:israel::israel::israel:
Hommie....ofu topiki kama hizo babu anaziruhusu kwakuwa kuna maslahi kwa babu.
Haya rudi kwenye mada kabla sijakupiga ban.
Mzee mwenzangu naona umenikwaza kidogo,
Hebu kwanza nambie....mijadala yenye maslahi kwa taifa inayohusu MMU ni ipi?
Bila kuniweka sawa...basi naomba tuonane 31 Dec 2011!
Mzee mwenzangu naona umenikwaza kidogo,
Hebu kwanza nambie....mijadala yenye maslahi kwa taifa inayohusu MMU ni ipi?
Bila kuniweka sawa...basi naomba tuonane 31 Dec 2011!
Kumshukuru Mungu na kutubu tunapotumia tendo la ngono vizuri/vibaya.
Sasa babu mbona unaleta ubaguzi wa kibaolojia? Sie mabikira wa kiume ujatushauri! Pia bikra wa kike hukuwapa neno?! Au babu wosia umeuandikia gesti? Babu ee,nasi tupe legacy babu!
Nyie hamna cha kuwaasa kwa maana mnavitumia vikojoleo vyenu inavotakiwa.
hapo umenena babu ulishawahi kuona upako ukishuka kati yenu ni pale unapoomba kabla ya tendo na kushukuru baada ya tendo hembu sisitiza wajukuuu zako wajaribu hiki kipengele watarudi na majibu hapa
Kumshukuru Mungu na kutubu tunapotumia tendo la ngono vizuri/vibaya.