Wote wote tukiwa machinga, nani atanunua kwa mwenzake?

Wote wote tukiwa machinga, nani atanunua kwa mwenzake?

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
6,373
Reaction score
16,073
Huko Tanganyika kila mtu ni machinga, hata wasio na ujuzi wa kibiashara nao unawakuta wanachuuza malapa mitandaoni.

Tangu Watanganyika waambiwe kujiari basi imekuwa fujo mno, mara huyu anauza ubuyu, mara huyu anauza tumikoba twa kike!

Mitandao imechafuka biashara uchwara za kuchuuza malapa na kandambili. Kila ukifungua WhatsApp unakutana na tumalapa tumejipanga kwenye utitiri wa status. Ati "online business".

Mwingine naye unakuta ameajiriwa ajira rasmi kabisa lakini naye yumo tu anang'ang'ana amepanga ubuyu mitandaoni anauza etii! Sijui ni ugonjwa wa akili?

Mlipoambiwa mkajiajiri tulitarajia kuona vijana wasomi wakija na mawazo bunifu ya kuunda vitu vikubwa na sio kuuza tumalapa kwenye WhatsApp!

Nikiona umeweka malapa kwenye WhatsApp nakulima BROKU.

Hatuwezi kuwa machinga nchi nzima. Jiongezeni mnatuchefua na tumalapa twenu. Eboo!!
 
Hold on!!
Screenshot_20241012-195133~2.jpg
 
Huko Tanganyika kila mtu ni machinga, hata wasio na ujuzi wa kibiashara nao unawakuta wanachuuza malapa mitandaoni.

Tangu watanganyika waambiwe kuajiri basi imekuwa fujo mno, mara huyu anauza ubuyu, mara huyu anauza tumikoba twa kike!

Mitandao imechafuka biashara uchwara za kuchuuza malapa na kandambili.

Kila ukifungua WhatsApp unakutana na tumalapa tumejipanga kwenye utitiri wa status. Ati "online business".

Mwingine naye unakuta ameajiriwa ajira rasmi kabisa lakini naye yumo tu anang'ang'ana amepanga ubuyu mitandaoni anauza etii! Sijui ni ugonjwa wa akili?

Mlipoambiwa mkajiajiri tulitarajia kuona vijana wasomi wakija na mawazo bunifu ya kuunda vitu vikubwa na sio kuuza tumalapa kwenye WhatsApp!

Nikiona umeweka malapa kwenye WhatsApp nakulima BROKU.

Hatuwezi kuwa machinga nchi nzima. Jiongezeni mnatuchefua na tumalapa twenu. Eboo!!
 

Attachments

  • 1728666279415.jpg
    1728666279415.jpg
    106.6 KB · Views: 5
Wew nae unazingua,
Kuna anaeuza kila kitu?

Utakuwa machinga wa electronics, ila nguo na alminium utaenda kwa mwenzako,

Utakuwa machinga wa madawa, ila utanunua vinywaji kwa machinga wa vinywaji,

And the list goes on, hata bakhresa bado kuna watu anawaungisha
 
Duniia ipo katika mfumo huo if you don't do business be a business.

Ni jambo zuri ikiwa watu wan a post Biashara zao hata Kama ni ubuyu kuliko kutumia mitandao kutukana watu na kufatilia umbeya.

Don't left behind get evolves with our modern world.

Everything now is business
 
Duniia ipo katika mfumo huo if you don't do business be a business.

Ni jambo zuri ikiwa watu wan a post Biashara zao hata Kama ni ubuyu kuliko kutumia mitandao kutukana watu na kufatilia umbeya.

Don't left behind get evolves with our modern world.

Everything now is business
mhhh
 
Wew nae unazingua,
Kuna anaeuza kila kitu?

Utakuwa machinga wa electronics, ila nguo na alminium utaenda kwa mwenzako,

Utakuwa machinga wa madawa, ila utanunua vinywaji kwa machinga wa vinywaji,

And the list goes on, hata bakhresa bado kuna watu anawaungisha
mhh
 
Vijana hawawezi kuwa wabunifu, kutengeneza vitu from scratch kunahitaji mtaji mkubwa.

Hili nililigundua kwa maumivu kabisa wakati nilijaribu kutengeneza kifaa tiba flani hivi, nilijaribu kuapply nilichopata darasani si unajua?
bei ya vifaa ni matata bila muwekezaji hutoboi😅

Ndo maana tanzania imebebwa na uchumi wa fremu.
 
Huko Tanganyika kila mtu ni machinga, hata wasio na ujuzi wa kibiashara nao unawakuta wanachuuza malapa mitandaoni.

Tangu Watanganyika waambiwe kujiari basi imekuwa fujo mno, mara huyu anauza ubuyu, mara huyu anauza tumikoba twa kike!

Mitandao imechafuka biashara uchwara za kuchuuza malapa na kandambili. Kila ukifungua WhatsApp unakutana na tumalapa tumejipanga kwenye utitiri wa status. Ati "online business".

Mwingine naye unakuta ameajiriwa ajira rasmi kabisa lakini naye yumo tu anang'ang'ana amepanga ubuyu mitandaoni anauza etii! Sijui ni ugonjwa wa akili?

Mlipoambiwa mkajiajiri tulitarajia kuona vijana wasomi wakija na mawazo bunifu ya kuunda vitu vikubwa na sio kuuza tumalapa kwenye WhatsApp!

Nikiona umeweka malapa kwenye WhatsApp nakulima BROKU.

Hatuwezi kuwa machinga nchi nzima. Jiongezeni mnatuchefua na tumalapa twenu. Eboo!!
Kitu ulichokiongea ni kweli kabisaa, ila tatizo sasa ni hayo mawazo + mitaji + soko. Chek 99% ya bidhaa tunatoa nje kwanini na sisi tusiwe producers ?
 
Tunabandika protector kwa shilingi 2000,
Tunabandika protector kwa shilingi 2000,

KARIBUNI WATEJA
 
Back
Top Bottom