would you like to be my lover plz?

hujui kwamba polisi atakulinda usiku kucha?
 
Akiwa lindoni nitalindwa na nani?majambazi sindowatumua fursa hyo kulipikiza kisasi
kitendo cha kujua nyumba hiyo kuna polisi hawatanusisha pua zao. sema akiwa lindoni unakuwa na hofu kwamba wenzako wanagegeda lakini hata manesi si wana night shift? madaktari nao si hivyo hivyo. au labda kama kuna tabia ambayo umeiona kwa polisi tu wengine hawanayo. aafu nilisahau, hata trafiki atakuwa anakupungia mkono tu unaenda zako. lakini hawa watu akili zao siku hizi kama zinapunguzwa huko ccp, anaweza kukupiga risasi muda wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…