Wow, something great is happening in the world but few are benefiting from it

Wow, something great is happening in the world but few are benefiting from it

Tech24

Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
16
Reaction score
5
F90CE095-31E9-4AFA-BAE7-5325F43F8DF6.jpeg
Leo nataka kuwafahamisha Watanzania wenzangu juu ya kitu ambacho wachache ambao wamepata nafasi ya kuelewa ni nini, wananufaika huku wengi wakibaki hawana idea ni nini kinachoendelea.

FORBES AFRICA kwenye jarida lao la mwezi September (cover page) wameandika, nitanukuu “BITCOIN, CRYPTOCURRENCY THE FUTURE”
(Tazama picha chini)

BANK OF TANZANIA (BOT) nao kwa mara ya kwanza katika historia wamezungumzia kwenye gazeti la THE GURDIAN (9th October 2017) juu ya Cryptocurrency na Bitcoin.

Hizi ni Taasisi kubwa zenye uelewa mkubwa sana juu ya mambo ya Fedha na Biashara. Hivyo wana AUTHORITY kwenye chochote wanachopendekeza/ elekeza.


Well, Hii BITCOIN na CRYPTOCURRENCY ni nini?

Kwa Lugha rahisi, Bitcoin ni Pesa ya kidigitali (digital currency) ambayo unaweza kuitumia kulipia bidhaa na huduma mbalimbali.
Mfano: Unaweza kununua mikate Tasty bakery Mikocheni DSM ukalipa kwa bitcoin.
Au Ukanunua gari Kwenye Kampuni ya Beforward Japan, ukalipia kwa bitcoin.
Au ukanunua software kwenye mtandao ukalipa kwa bitcoin.
(Tazama picha chini)


Pesa hii ilianza kutumika mwaka 2009 ikiwa na thamani ya pesa za kitanzania Takribani SHS 250/=
(Shilingi mbia mbili hamsini) kwa bitcoin moja.

Miaka (8) nane baadae yaani leo 2017 Bitcoin moja ina thamani ya sh 12,571,326/= ( Milioni Kumi na mbili, laki tano sabini na moja elfu, mia tatu ishirini na sita) Tazama picha chini au Google.

Kama ungenunua bitcoin zenye thamani ya Tsh 500,000 tu mwaka 2009, ungepata kiasi cha Bitcoins 2000. Leo hii bitcoin hizo zingekua na thamani ya Tshs 25,142,652,000 (Bilioni ishirini na tano, milioni mia moja arobaini na mbili, laki sita hamsini na mbili elfu.)

Kwa Mwaka mmoja na zaidi sasa nimeisoma sana na kununua kiasi cha hizi Bitcoins.
Mwezi January 2017 kama sehemu ya kujifunza nilinunua kiasi kidogo cha hizi pesa zenye thamani ya Tshs 800,000/= na kuzihifadhi kwenye “Bitcoin wallet”
Bitcoin moja ikiwa na thamani ya Tsh 2,000,000/= wakati huo.
Hivyo nilipata 0.4 bitcoins.

Leo hii thamani ya bitcoin imepanda, hivyo hizi 0.4Bitcoins Zina thamani ya Tsh 5,028,400
Huu ni ukuaji wa zaidi ya 500%

Nawaza tu kama ningekua na mtaji wa sh 100,000,000 januari mwaka huu, leo hii ningekua nina mtaji mkubwa kiasi gani.

Too good to be true, right? Many people have fallen in this trap.
Nilicho elezea hapo juu ni personal experience yangu.

Watu wengi HUDHANI:
1. Bitcoin ni kampuni
2. Bitcoin ni Biashara ya mtandao (Network Marketing)
3. Bitcoin ni utapeli
4. Bitcoin ni kitu hatari
5. Bitcoin Haipo.

Ukweli ni yote ambayo watu hudhani hapo juu SIO KWELI. Ukweli ni kwamba BINADAMU wengi huogopa vitu wasivyovijua, na wengi hawaijui bitcoin.

Bitcoin ni somo pana sana.. hivyo sitaweza kueleza kila kitu leo. Nitaendelea siku Nyingine.
[HASHTAG]#Bitcoin[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Cryptocurrency[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Digitalcurrency[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BlockchainTechnology[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TheFuture[/HASHTAG]

Kama utapenda kujua namna ya kufanya uwekezaji kwenye Bitcoin au ungependa kuifahamu zaidi Tuwasiliane kwa no +255765780139.
 

Attachments

  • 626FD598-522A-4047-B2B1-39AC78D230DB.jpeg
    626FD598-522A-4047-B2B1-39AC78D230DB.jpeg
    455.4 KB · Views: 68
  • 7AA17922-CB9A-4998-840F-CCA2F475619B.jpeg
    7AA17922-CB9A-4998-840F-CCA2F475619B.jpeg
    260.2 KB · Views: 72
  • F328FC54-D949-4371-BD1B-CC38E5DF7850.jpeg
    F328FC54-D949-4371-BD1B-CC38E5DF7850.jpeg
    182.2 KB · Views: 72
  • 8994053C-FB2A-4CEE-8563-3CA6FF2D5366.jpeg
    8994053C-FB2A-4CEE-8563-3CA6FF2D5366.jpeg
    55.4 KB · Views: 68
  • 575C7CAB-97F7-40DE-8088-F7217B138E58.png
    575C7CAB-97F7-40DE-8088-F7217B138E58.png
    117.6 KB · Views: 77
  • 137BB593-07B1-4CF0-AB4E-3485E3AB5F7F.jpeg
    137BB593-07B1-4CF0-AB4E-3485E3AB5F7F.jpeg
    33.8 KB · Views: 73
Online businesses na hofia sana ila itabidi ni risk ili niifahamu
 
ungetueleza kwanza BOT wamesema nini kuhusu bitcoin
Ujumbe mkubwa ulikua Anayewekeza awekeze kwa Risk yake mwenyewe.
Hawakukataza wala hawajasema Bitcoin ni Legal Tender Tanzania.
Kifupi wako Njiapanda kama zilivyo nchi Nyingine Nyingi.
 

Attachments

  • E6E4F46D-E9E8-48DF-8063-53DA02A64BC6.jpeg
    E6E4F46D-E9E8-48DF-8063-53DA02A64BC6.jpeg
    123.6 KB · Views: 60
  • 94FA5869-1943-494F-AA47-17B3700AD13B.jpeg
    94FA5869-1943-494F-AA47-17B3700AD13B.jpeg
    180.4 KB · Views: 62
Watu wengi hua wanachanganya Bitcoin na ponzi scheme companies kama GNLD na Global Alliance sijui nini nini. Hawajui Bitcoin ni currency na leo hii watu wanatumia Bitcoin wanatengeneza pesa kweli. Kitu najutia ni upuuzi nilifanya miaka ya nyuma. Nilimine kama 200 bitcoins zamani wakati imetoka nikaona haina value yoyote sikutunza ile wallet nilidelete kila info kwenye ile computer enzi hizo nilidhani game tu maana ilikua haina value. Ningekua nimeona mbali leo hii hiyo ingekua na value ya kama tshs bilioni mbili. Ila i dont mind nadhani hata ningekua nayo nahisi ningeuza as soon as imepata value enzi hizo at a much cheaper price. Ni ngumu sana kupredict wengi walihold kibahati tu.
 
Vihela vyenu mlivyovipata kwa ngama vitakombwa!
 
Watu wengi hua wanachanganya Bitcoin na ponzi scheme companies kama GNLD na Global Alliance sijui nini nini. Hawajui Bitcoin ni currency na leo hii watu wanatumia Bitcoin wanatengeneza pesa kweli. Kitu najutia ni upuuzi nilifanya miaka ya nyuma. Nilimine kama 200 bitcoins zamani wakati imetoka nikaona haina value yoyote sikutunza ile wallet nilidelete kila info kwenye ile computer enzi hizo nilidhani game tu maana ilikua haina value. Ningekua nimeona mbali leo hii hiyo ingekua na value ya kama tshs bilioni mbili. Ila i dont mind nadhani hata ningekua nayo nahisi ningeuza as soon as imepata value enzi hizo at a much cheaper price. Ni ngumu sana kupredict wengi walihold kibahati tu.
pole sana mkuu sasa hivi ungekuwa unaogelea kwenye ubilionea..........hizi vitu ni vizuri kuwa nazo hata kidogo tu huwezi jua ya kesho
 
Watu wengi hua wanachanganya Bitcoin na ponzi scheme companies kama GNLD na Global Alliance sijui nini nini. Hawajui Bitcoin ni currency na leo hii watu wanatumia Bitcoin wanatengeneza pesa kweli. Kitu najutia ni upuuzi nilifanya miaka ya nyuma. Nilimine kama 200 bitcoins zamani wakati imetoka nikaona haina value yoyote sikutunza ile wallet nilidelete kila info kwenye ile computer enzi hizo nilidhani game tu maana ilikua haina value. Ningekua nimeona mbali leo hii hiyo ingekua na value ya kama tshs bilioni mbili. Ila i dont mind nadhani hata ningekua nayo nahisi ningeuza as soon as imepata value enzi hizo at a much cheaper price. Ni ngumu sana kupredict wengi walihold kibahati tu.
Duh.. kweli majuto mjukuu, mi mwenyewe niliisikia mapema tu nikaichukulia poa, sa hizi najilaumu maana sa hivi imeanza kupigwa vita sana huko mbele sijui kama itasurvive
 
Duh.. kweli majuto mjukuu, mi mwenyewe niliisikia mapema tu nikaichukulia poa, sa hizi najilaumu maana sa hivi imeanza kupigwa vita sana huko mbele sijui kama itasurvive
Ni vigumu sana kupredict what will happen next.
Sasa hivi kuna Cryptocurrency mpya ambayo nimeipania, inaitwa Electroneum, naona inagain traction kwa kasi sana, wanalaunch November 1 mwaka huu tayari wamekusanya pesa ndefu sana kama investment. Uzuri wa hii ni special for mobile phone users kitu ambacho kinaweza ifanya iwe adapted very quickly.
 
Ni vigumu sana kupredict what will happen next.
Sasa hivi kuna Cryptocurrency mpya ambayo nimeipania, inaitwa Electroneum, naona inagain traction kwa kasi sana, wanalaunch November 1 mwaka huu tayari wamekusanya pesa ndefu sana kama investment. Uzuri wa hii ni special for mobile phone users kitu ambacho kinaweza ifanya iwe adapted very quickly.
Nipe data boss tunaipataje hiyo ?
 
Nipe data boss tunaipataje hiyo ?
Hiyo utaweza kui-mine kuanzia tarehe 1 November, kwa sasa hivi wanauza tokens kwa kua ndiyo mwanzo kabisa, wanajaribu kucreate value kabla ya kurelease coins to the public, wameuza tokens worth millions of dollars tayari, uzuri wa hii ni kua its too early, unaanza nayo day 1 so ukiwa mjanja ukamine vya kutosha mapema, kaa na coins, ikitokea imehit then unamake profit huko mbele.
 
ADAMU NA.UTAKULA KWA JASHO
ila siku hizi kuna pipo No tangible jasho
Ila inatoka jasho akili ambayo ubongo unalowa kwa mahela ya net
Endeleeni kupiga hela wakuu
Maana niliingia semina moja nkaona maruweruwe kutokana na misimamo yangu ya sheikh adnop
 
Kuna nyingine inaitwa IMOTA inatoa airdrop inaitwa*OTARA* sio ya kuikosa hiyo ni genuine kabisa.

Attention to ALL IMOTA minners

All of you mining OTARA Token.
Do this Now:

1/- OPEN App go and do this to recieve your $5 BUSD

2/- Click on the "MENU" bar down below the bottom of the App.

3/- Click on the "Apply" code section, input this code: 4rsO7arb to get your '$5 BUSD

referral bonus: 4rsO7arb

Code:[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

4rsO7arb
Download the Imota app at imota.io and enter my referral code: 4rsO7arb to get up to $5 for free
IMG-20230930-WA0008(1).jpg
 
Back
Top Bottom